Saturday, April 7, 2012

TUTAMKUMBUKA MILELE STEVEN KANUMBA

MAREHEMU STEVEN KANUMBA




 Ni miaka ishirini na nane hivi sasa tangu kuzaliwa kwa nguli wa filamu tanzania (STEVEN CHALSE KANUMBA) imepita tangu mnamo mwaka 1984-2012. tarehe saba mnamo majira ya saa nane usiku ndipo yalimkuta mauti muigizaji steven kanumba.




ENZI ZA UHAI WAKE (STEVEN KANUMBA)



    Ni jambo la kusikitisha sana kwani ni kifo cha ghafla sana kutokea kwa msanii nyota kama huyu, pia ni jambo la kushtusha sana kwani ni kijana mdogo ambae anategemewa na familia yake. si familia tu pia taifa zima linamtegemea kwa kiwango kikubwa sana kwani ni muelimishaji jamii mzuri pia ni mmoja wa vijana ambao huingiza kipato kikubwa katika uchumi wa nchi yetu. 





ELIZABETH MICHAEL (LULU)




     KWA MUJIBU WA MDOGO WA MAREHEMU STEVE KANUMBA, ALISEMA KUWA ELIZABETH MICHAEL  MAARUFU KAMA LULU ALIKUJA NYUMBANI KUKAWA NA KAUGOMVI  AMBAPO WAKAINGIA CHUMBANI WAKIWA HUKO BAADA YA MUDA,LULU ALITOKA NA KUMUITA YEYE  KUMUAMBIA KANUMBA KAANGUKA, YE ALIPOENDA AKAMKUTA KAANGUKA NDIO AKAENDA MUITA DAKTARI WA KANUMBA AMBAPO ALIPORUDI HAKUMKUTA LULU, LAKINI  HADI TUNAVYOONGEA LULU YUKO POLISI OSTERBAY KWA AJILI YA MAHOJIANO NA POLISI, NA MWILI WA MAREHEMU UMEHIFADHIWA MUCHUARI MUHIMBILI. 
   
   BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA , KAMWE HATUTO MSAHAU STEVEN KANUMBA KWA KAZI YAKE NA UCHESHI WAKE MUNGU AMREHEMU NA AMUWEKE MAHALI PEMA PEPONI AMEN.........

No comments:

Post a Comment