Monday, April 16, 2012

KILIMANJARO MUSIC AWARDS YATIKISA ILA KWA MAJONZI

  Ni tamasha kubwa ambalo hufanywa kila mwaka kwa kuwapa tunzo wasanii wanaofanya vizuri katika kazi zao na tunzo maalum kwa wasanii ambao walionekana kutoa mchango mkubwa katika muziki wa tanzania. tamasha lilikua ni kubwa la aina yake lilionekana kujaa kwa watu wasanii nao walionekana kuitikia wito wakongwe kwa wachanga.
    


   Lakini tamasha hili liligubikwa na majonzi pindi pale baadhi ya wasanii walipo onyesha kumkumbuka msanii mahiri kwa kutunga na kuigiza filamu na sio katika filamu tu hata katika muziki STEVEN CHARLES KANUMBA. mungu amrehemu. majonzi haya au msiba huu ulionekana kumgusa sana msanii BARNABA pia ilikua ni furaha kwake kwani pindi msanii wa filamu

baba steve
 kanumba alipo fariki ndipo siku hiyo alipo pata mtoto aliempa jina la steve kutokana na msiba huo mkubwa. lakini majonzi hayo ya msanii barnaba yalizimwa baada ya kupata tunzo ya mwimbaji bora wa mwaka.hongera barnaba kwa tunzo na mtoto...

No comments:

Post a Comment