Thursday, February 9, 2012

SITAKI KUINGIA KILI MUSIC AWARDS

mr misifa (dully sykes)
Baada tu ya kutangazwa kw anominees wa tuzo za KILI TANZANIA MUSIC AWARDS msanii kutoka ilala mzee wa bongo fleva Dully Sykes amekuja juu na kulaumu uongozi kwa kumuweka katika kinyang'anyiro cha tuzo za kili. nilishawaambia sitaki kuwepo tena katika tuzo zao, tangu mwaka juzi wakati wa shikide, lakini nashangaa kuona wanaendelea kuniweka tu, kwani wananiona mimi ndio masanii pekee, wakatu ule wa hits kama nyambizi, Hi na zinginezo mbona hawakunipa tuzo? au walidhani mi ni msanii ambae ningeishia kati tu, lakini baada ya kuona nipo na naendelea kuwepo ndio wanajifanya kunitambua..ni mesema sitaki.

baada ya dully kuongea hayo, tulipata nafasi ya kuongea na mzee Luhala kutoka BASATA na e alisema haya.
" kama msanii ameamua kujitoa basi aandika barua BASATA ya kujitoa lakini sio kwa maneno tu"
'

No comments:

Post a Comment