 |
Na isihaka myanza |
Bidii ya viongozi wetu kuanzia awamu ya kwanza iliyo shikiriwa na hayati baba wa taifa mh mwalimu julius kambarage nyerere mpaka sasa yupo mzee wa nguvu mpya na kasi mpya mh jakaya mrisho kikwete, ni mabadiliko mengi yamefanyika ya kimaendeleo kwa mfano shule kuongezeka na barabara kifupi ni huduma muhimu zinaonekana kupamba moto si kama enzi zile na sasa. kwa hali hii sina budi kusema hongera tanzania kwa kufikisha miaka hamsini tangu uhuru mpaka sasa kwa kupiga hatua kimaendeleo. hongera sana sana.......
LAKINI? hebu tujiulize watanzania tumepata shule nzuri za kata, hospitali zenye majengo mazuri, barabara nz