Saturday, March 31, 2012

DO YOU KNOW TAARAB MUSIC IN TANZANIA?



          Taarab, also called tarabu or tarab, is Zanzibar's most popular music. Taarab is popularly known as Swahili wedding music, since taarab musicians and music are an essential part of these multi-day festivities. The east African coast has served as a center for trade with countries throughout the Middle East and Asia, and taarab music reflects many of the cultures which have passed through this region.
Through its years of development, taarabu has been an exceptionally inclusive art form, adapting and incorporating elements from Swahili, Arabic, Indian, Egyptian, and other cultures. This can be seen in the range of instruments used in taarab ensembles and orchestras which include Middle Eastern oud and dumbek, Indian tabla, western electric keyboards, and the Japanese taishokoto (described as a "banjo/typewriter-key hybrid"). Similarly, taarab rhythms reflect traditional ngoma dances like chakacha, Indian film scores, Cuban rumba, and various Zairean and East African dance music. Perhaps most importantly, taarab lyrics radiate with the allusive intricacies of Swahili poetry and showcase the beauty of this long, literary tradition.
The word taarab is of Arabic derivation and contains multi-layered meaning. Gilbert Rouget in Music and Trance explains taarab comes from "the verb tariba which means "'to be moved, agitated'...also signifies 'to excite, to want to move,' and hence 'to sing, to make music." Historically, taarab was first introduced to Zanzibar in 1870 by the Sultan Seyyid Barghash who brought a group of Egyptian musicians to his court. Barghash sent a Zanzibari musician, Ibrahim Muhammed, to study in Cairo and upon his return he formed the Zanzibar Taarab Orchestra. In 1905, Zanzibar's second music society, Ikwhani Safaa Musical Club, was established and continues to thrive today with around 35 active members. Ikhwani Safaa and Culture Musical Club (founded in 1958) remain the leading Zanzibar taarab orchestras.
Taarab's first modern superstar ascended in 1928 with the Swahili singer Siti bint Saad who appeared on hundreds of 78's, many of them recorded in India. Unlike the majority of taarab which was sung in Arabic, Saad sang in Swahili and presaged a change in the direction of the music. After her death in 1950, taarab lyrics became prominently Swahili, and more female singers appeared with formerly all-male musical clubs. Another dramatic turn occurred with the revolution of 1964's political push to de-arabacize the island and its cultural institutions. Some taarab clubs switched from Arabic to Swahili names, (although many have reverted back), and musical societies were fully opened to women members.




Walipewa cheti cha PF90kwa ajili ya kupeleka kwenye ofisi za BIMA kwa ajili ya ukarabati wa magari yote yalio pata ajali (yaani gari langu na la kwao )

   mimi nilikua nikifanya kazi katika kampuni moja ilioitwa ISI-H engenearing company limited, kwa kifupi ilijulikana kama (I E C L) nilikua kama msaidizi kwa lugha ya kigeni ni secretary wa kampuni ile iliokua ikifanya kazi maeneo ya nduli kama kilometa tano kabla kufika kwenye kiwanja cha ndege cha nduli.

   kampuni ile ilikua ikitengeneza barabara ile iliotoka iringa  mjini hadi mkoa wa dodoma kwa kiwango cha lami. ama kweli niliamini msemo wa wahenga usemao "fimbo ilio mkononi, ndio iuayo nyoka". kuna msaidizi wangu kazini alipoona sirudi kazini kwa muda tuliopewa kwenda kupata mlo wa mchana, alijaribu kudadisi ni nini kimetokea kwangu mpaka muda ule sijarudi kazini na alipo gundua niliondoka na gari na kukutana na mwanamke yule niliemsaidia kwa kuzidiwa kuzimia na kumpeleka hospitali;


Tuesday, March 27, 2012

BONGO BILA SKENDO



                                     Naomba niongele skendo za wasanii bongo kwa uchungu na hisia ambazo naziona katika jicho langu la tatu. si mara moja au mara mbili kumekua kukitokea skendo za wasanii wa bongo kuchafuana wenyewe kwa wenyewe,wasanii kwa wahandishi wa habari bega kwa bega kufuatiliana. hivi ni vyema kwa wasanii kurukaruka kama kima na kufanya mambo ya ajabu na kuweka maswali kwa vichwa vya watu chungu mzima. hii inatokana na nini mimi nadhani ni ukosefu wa maadili kwa wasanii wa sasa.

 hivi ni kitu gani kinacho wafanya muache kufanya mambo ya kazi zenu na kufanya uzinzi hadharani, starehe zilizopindukia.

enyi wasanii acheni hayo mambo mna dhalilisha heshima ya nchi tanzania na pia hamjengi picha nzuri kwa jamii inayo wazunguka na kuwasikiliza kama wasanii.

 wasanii badilikeni ili muwe fundisho zaidi kwa jamii inayo wazunguka  na hii itafanya muheshumike na muonekane watu ambao wana mchango mkubwa katika jamii....BONGO BILA SKENDO INAWEZEKANA..

JE VYAMA VYA SIASA VILIANZIA WAPI?

bendera yetu tanzania



Mfumo wa vyama vingi ni hali ya kuwa na chama zaidi ya kimoja,katika nchi moja.Madhumuni ya kuwa na vyama vingi vya siasa ni kuleta ushindani wa kisiasa,ili kuleta maendeleo ya nchi,upinzani wa kisiasa sio uadui kama watu wengi kwenye nchi zinazoendelea wanavyodhani,kuwa na vyama vingi ni kuongeza wigo wa demokrasia katika jamii huska.
Tanzania ni nchi yenye mfumo wa vyama vingi vya siasa uliorejeshwa katika katiba ya Tanzania mwaka 1992.
Chama tawala ni    

      Chama cha Mapinduzi (CCM) ni chama tawala nchini Tanzania. CCM ilizaliwa 5 Februari, 1977 baada ya kuungana kwa vyama vya Tanganyika African National Union (TANU) kilichokuwa kikitawala Tanzania Bara na Afro-Shirazi Party (ASP) kilichokuwa chama tawala cha Zanzibar wakati huo. Chama cha Mapinduzi kilikuwa kikiongozwa na Mwalimu Nyerere na Afro-Shiraz Party kilikuwa chini ya Amaan Karume.
Kwa miaka mingi CCM ilikuwa ikifuata siasa ya Ujamaa na Kujitegemea. Itikadi hii ilipewa nguvu za kisera mwaka 1967 lilipotangazwa Azimio la Arusha. Kutokana na azimio hilo uchumi uliwekwa mikononi mwa umma. Itikadi hii pia ilisisitiza umuhimu wa kuishi pamoja hasa katika vijiji vya Ujamaa.

Tanganyika African National Union (TANU) kilikuwa chama kilichotawala Tanganyika na Tanzania hadi muungano wa chama hiki na Chama cha Afro-Shirazi cha Zanzibar ulipounda Chama cha Mapinduzi (CCM) mwaka 1977.
TANU ilianzishwa Julai 7, 1954 kutokana na Tanganyika African Association (TAA). TAA ilikuwa na mwelekeo wa kitamaduni zaidi ya siasa. Mwenyekiti wa kwanza wa TANU alikuwa Julius Kambarage Nyerere.

TANU ilishinda kila uchaguzi chini ya utawala wa kikoloni ikawa chama cha kuongoza Tanzania hadi ilipopata uhuru wake mwaka 1961. Katiba ya Taifa ya mwaka 1962 ilifanya TANU kuwa chama cha pekee nchini ikifuata mfano wa nchi za kijamaa zenye muundo wa siasa ya chama kimoja.


Afro-Shirazi Party (kifupisho: ASP) ilikuwa chama cha siasa kisiwani kwa Zanzibar. Ilianzishwa wakati vyama viwili vingine, yaani Shiraz Party ya Waajemi na Afro Party ya Waafrika, vilipoungana. Uanzishaji wa chama hilo ukasababisha uondoaji wa Waarabu kutoka utawala wa Zanzibar katika mapinduzi ya mwaka wa 1964. Mwaka wa 1977, ASP ilijiunga na TANU kuwa Chama cha Mapinduzi.

Saturday, March 10, 2012

JE WAIJUA NDOTO YA BARNABA

BARNABA
Toka nyumba ya kukuza vipaji ya THT, Barnaba alikuwa na kifua cha kuweka wazi kuwa moja ya mikakati yake mikubwa ilikuwa ni kugonga kazi moja na bishoo mkongoman  Fally Ipupa.
Lakini maneno ya Barnaba hayakuwa ya bure tu kwani yalitokana na MkongoMan huyo kumfagilia Barnaba kwenye ukurasa wake wa Twiter kuwa anafurahishwa na kazi za bwana mdogo huyo toka Bongo na kuahidi kuwa ipo siku atafanya nae kazi.
Hapa ananukuliwa Fally toka ukurasa wake wa Twitter;
"Nimeridhishwa na kiwango cha mwanamuziki kutoka Tanzania Barnaba na nina nia ya kufanya nae kazi atakapokuwa tayari"ni baadhi ya maneno yalivyosomeka kwenye ukurasa wa Twiter wa mwanamuziki huyo kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo.
KILICHOJIRI WAKATI WA ZIARA YA FALLY IPUPA MWISHONI MWA WIKI ILIYOPITA
Taarifa rasmi ni kwamba kolabo hiyo inafanywa wiki hii na itarekodiwa katika studio za THT Dar es salaam.
Barnaba mwenyewe anaweka wazi kuwa litakuwa ni songi la mahaba litakaloitwa 'TUACHANE KWA WEMA',
Akiendelea kufunguka, Barnaba anasema kolabo hilo amelipata free kabisa bila kumlipa Fally hata shilingi 100, na hii ni kutokana na bishoo huyo wa kikongo kuzimikia kazi za Barnaba tangu muda mrefu.
Hii kolabo inafanyika miezi mitatu baada ya Fally Ipupa kukubali kupitia twitter kwamba anamjua na anakubali uwezo wa BARNABA na yuko tayari kufanya nae kolabo.

HISTORY OF WAYNE ROONEY

Wonder boy Wayne Rooney is the name Wayne Rooney first premiership goal against Arsenalon everybody's lips as Roo-mania sweeps across the country. At the tender age of 16, Rooney announced himself to the Premiership as a top prospect - scoring a seamless goal against Arsenal to earn his first victory for Everton in the last minute of the game.

Wayne Rooney is a born and bred Liverpudlian. The son of a working-class family, he grew up in the suburb of Croxteth. Brought up in a three-bedroom council house with his parents, Jeanette and Wayne, and his younger brothers, Graham and John, young Wayne had not much more than the dreams of every other little boy in his town. His mum Jeanette was a dinner lady at a local school. The family have always been Everton-mad, and Rooney's old bedroom window, which was visible from the street, was filled with Everton pennants.

Rooney was the talk of the town well before his Wayne Rooney Everton shirt presentationinternational success. He was only nine when he was spotted by Everton scout Bob Pendleton playing for boys' club Copplehouse in the local Walton and Kirkdale Junior League. In his last season with them he scored 99 goals before joining the Everton academy. His progress was so swift that he was playing for the Under-19s side when still only 15.

His life now is very different, though his superstardom Wayne Rooney girlfrienddoesn't look like it's gone to his head, he still looks like the boy next door, and if you passed him on the street you wouldn't look twice, he certainly doesn't carry the glamour of Beckham, but who cares? As long as he keeps scoring the goals, he's a national hero.

Wayne Rooney is the top goal scorer in Euro 2004, and has Wayne Rooney first England Goal against Australiabeen describes by England coach Sven-Goran Eriksson as the greatest teenage talent to emerge at a soccer tournament since Pele at the 1958 World Cup. Still at only 18 his career has just started, Liverpool-born Ronney is a boy that everyone wants to be.
Wayne Rooney joined Manchester United on Tuesday, 31 August 2004 despite a last minute holdup caused by his broken foot. Manchester United finalized the deal to acquire the 18-year-old striker from Everton at the transferWayne Rooney Manchester United deadline date. The six-year deal is worth $48.3 million; with agent fees, the total soars to $54 million. "It was a tough decision to leave Everton, the club I've supported and played for all my life, but I'm excited to be joining a club as big as Manchester United," Rooney said in a statement released by his new team. "I feel this can only improve my career, playing with top players in top competitions like the Champions League and I can't wait to meet up with the team."
 
SEHEMU YA PILI
Lori lile lilituvaa na lenyewe likakita katika ukuta wa mlima ule na gari letu liliingia bondeni na kupinduka na kuvunjika vioo vyote. Sikuumia sana, nilichubuka kwenye mikono yangu na usoni kidogo kwa vioo vile vilivyo vunjika.

Masikini mwanamke yule alikua amechubuka kiasi na alikua amezidiwa kabisa kiasi cha kutoa povu mdomoni. Nilimuonea huruma huku nikijilaumu mwenyewe. Kwani nilihisi mimi ndie nilie msababishia yote hayo. Nilidhani amefariki kwani alitoa povu jingi sana mdomoni na puani mwake. Mimi nilikua mwenye fahamu na nilijitahidi kujinasua kwenye gari hili lililo pinduka ili nikitoka nimtoe na mwenzangu lakini ilishindikana kabisa kwani gari lile lilikua lime bonyea sana.

Bila kutegemea nilisikia sauti ya gari lililopiga kelele ya kuashiria kuna hatari imetokea. Lilikua ni gari la hospitali  kuu ya iringa ilio julikana kwa jina la “government hospital” lilikua na daktari mmoja na wauguzi wawili vilevile liliongozana na gari la polisi aina ya land rover lenye namba PT 220 lililokua na polisi sita.

Polisi wale walijitahidi kutung’oa kwenye adha ile na kutuweka kwenye gari maalum la wagonjwa na kutupeleka katika hospitali kuu ya mkoa wa iringa. Polisi wale watatu kati yao walikua ni polisi wa usalama barabarani na wengine watatu walikua wakitoka katika kikosi cha kutuliza ghasia (FFU).

Tulifikishwa katika hospitali ya mkoa wa iringa ilikua ni majira ya saa saba na nusu mchana. Tulitibiwa lakini mimi nilipata ahuweni haraka kwasababu nilikua sina majeraha mengi. Baada ya siku mbili niliruhusiwa kwenda nyumbani, mwenzangu alikua bado yupo kwenye hali mbaya na aliwekewa mipira ya kuongezewa maji kwenye mishipa yake ya mikono. Nilimuuliza daktari kua ni kiasi gani cha fedha kimetumika kututibu na ni nini kinahitajika kwa wakati huu ili niweze kulipa kila kitu. Kwa wewe unahitaji kulipa elfu kumi na mbili za matibabu yote tulio kutibia na mwenzako bado mpira mmoja wa maji na dawa ambazo atakunywa baada ya kumaliza mpira huo wa maji ambapo gharama ya vitu vyote hivyo ni shilingi elfu thelathini na tano pesa taslimu za kitanzania “alisema daktari ambae alifahamika kwa “doctor huruma Jordan”. Bila kuchelewa nilitoa pesa katika mfuko wa suruali yangu iliokua imechanika kidogo miguuni na vioo vilivyopasuka baada ya ajali ile na kumkabidhi pesa doctor huruma  Nilimkabidhi kiasi alicho kisema na kumsisitiza amuangalie mgonjwa wangu vizuri mpaka atakapo pata ahueni na kupona kabisa. Dactari huruma alinihakikishia kwa maneno matamu kua nisiwe na hofu mgonjwa atapona na atarudi katika hali yake ya kawaida huku akinishika bega na kucheka na kutabasamu kwa matumaini na akaondoka kwa madaha huku koti lake lenye rangi nyeupe lililong’ara likipepea kwa upepo mwanana uliopiga katika eneo hilo la hospitali.

Katika lori lile lililotugonga kulikuwepo na dereva aliejulikana kwa jina la magia na utingo wa mizigo alieitwa mabavu. Walikua wamebeba matunda aina ya mananasi ambayo walitokanayo makambako katika mashamba ya mfanyabiashara binafsi wakipeleka mzigo huo huko dodoma wilayani mpwapwa.

Wenyewe hawakuumia sana kwani gari lao lilipasuka taa za mbele tu kwa kukita kwenye ukuta ule wa mlima mrefu uliopo kwenye eneo hilo lilipo tokkea ajali hiyo. Dereva na utingo wa gari kubwa walipelekwa lumande kwa kutozingatia sheria za barabarani. Walijitetea kwa kusema kwamba gari lile lilipoteza uelekeo kwa kukosa breki, hapo tulikua hatuna jinsi ya kujitoa kwani tulikua kwenye kona kali na gari letu lilikua likienda mwendo kasi hapo tulijitoa muhanga na ajali ilipotokea ilikua ni bahati mbaya. “alisema dereva wa lori lile”. Walisamehewa kwa kuwekwa lumande siku tatu na kutolewa na kupewa cheti cha PF90 kwa ajili ya ukarabati wa magari yote yaliopata ajali..   USIKOSE MUENDELEZO WA THIS IS MY PAGE........
NEXT WEEK...