Friday, December 23, 2011

POLENI SANA WAHANGA WA MAFURIKO JIJINI DAR ES SALAAM


nyumba na magari yaliofunikwa na maji
 Unaweza ukasema ni muujiza lakini si muujiza ni mipango ya mungu. Yeye ndie muweza wa yote hapa duniani. akisema kua na kinakua hakuna atakae mzuia. ni msiba mkubwa kwetu sisi watanzania kupoteza watu tuliowategemea katika familia zetu wao sio walikua bora zaidi la hasha, ila mungu kapanga mipango yake ikapangika na akachukua alichokileta hapo mwanzo. poleni sana sana ndugu zangu. hali hii ni ya kutisha na inazidi endelea pindi mvua zinapozidi kunyesha inahitaji subira na watu kujivika moyo wa chuma.poleni sana dar es salaam poleni sana mliopatamuhanga huu wa mafuriko poleni sana tanzania

Friday, December 9, 2011

HONGERA TANZANIA LAKINI???

Na isihaka myanza
  Bidii ya viongozi wetu kuanzia awamu ya kwanza iliyo shikiriwa na hayati baba wa taifa mh mwalimu julius kambarage nyerere mpaka sasa yupo mzee wa nguvu mpya na kasi mpya mh jakaya mrisho kikwete, ni mabadiliko mengi yamefanyika ya kimaendeleo kwa mfano shule kuongezeka na barabara kifupi ni huduma muhimu zinaonekana kupamba moto si kama enzi zile na sasa. kwa hali hii sina budi kusema hongera tanzania kwa kufikisha miaka hamsini tangu uhuru mpaka sasa kwa kupiga hatua kimaendeleo. hongera sana sana.......





    LAKINI? hebu tujiulize watanzania tumepata shule nzuri za kata, hospitali zenye majengo mazuri, barabara nz